Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
- Thread starter
- #41
Kama wewe ulinipenda
Kwa nini kunidanganya bwana wee
Kujibandika madaraka siyo yako bwana wee we
Unadhurura mchana kutwa
Kupita kuranda randa mitaani
Kumbe hukuwa na uwezo kwa nini kunidanganya
Nikuelewe vipi?
Babu eee uaminifu wako uko wapi ?mamaaa
(Chorus)
Usinione bwege mamaaa.....Kalubandika eee
Kwa kukubali mwito wako Kalubandika ee
Hayo yote ni matatizo ya dunia mama aa
Akiingia kwenye baa kazi yake kuomba bia
Hana hata aibu sigara pia anaomba
Mitaani na kwenye masoko
Hujitangazia kuwa yeye ni kmkurugenzi wa kampuni fulani
Kumbe sio hivyooooo
Usinione bwege mamaaa.....Kalubandika eee
Kwa kukubali mwito wako Kalubandika ee
Hayo yote ni matatizo ya dunia mama aa
Nilitaka kujitumbukiza ndani ya moto ee mama
Kumbe bwana yule hana kitanda wala shuka
Pa kulala hana, analala kwenye stendi ya Basi!
Pa kulala hana, analala kwenye kituo cha uda Kalubandika yeyeee
Wacha vituko we bwana
Usinione bwege mamaaa.....Kalubandika eee.........
This is Kalubandika song right?!.....hahahahahaah! i was looking for this lyrics aisee thanks