M-Bet ni matapeli?

kuwa specific, zipo wapi ukimaanisha kwa mkoa, wilaya, au kata, ipi??
kwa ninapokaa zipo nyuma ya CRDB
 
kwahyo unataka upangie watu matumizi eti? wewe nenda uka-honge wacha watu wafanye wanachojisikia,alafu nikuambie tu betting hapo tz tu na wala haikuanzia tz,

kingine mtu anayebet sio kwamba hafanyi kazi acha kukalili hiyo kitu,Zile pesa unazopeleka kwa madada poa wenzako ndio wanajaribu bahati yao.
 


Hamia Bar nyingine mkuu, achana nao hao jamaa, Makampuni kibao tu siku izi
 

Naamini unaongea kama mmoja wale mliokuuwa na uraibu wa kamari suala sio kupangiwa matumizi

Mimi nimemjibu aliyeniuliza kama najua TAIFA Linapata kodi nyingi!? Na Ndio nikamfahamisha watu wake wanapoteza pesa mara nyingi zaidi sana kuliko kodi inayochukua na hii inaenda kwa mabeberu wanaomiliki hizo kampuni.

Wewe kama unacheza endelea tu na kamari halafu utanikumbuka siku moja.....
Tumeona mengi kamari haijamuacha mtu salama kama una wazee wamekula chumvi uliza utaambiwa....

Na pole kwa kunielewa vibaya sijakupangia matumizi mkuu....
 
Wacha uwongo ww

Watu wanakula mamilion kwa ajili ya kubet, juzi kuna mtu kala M 284 mbet unasema kamali haijawahi kumtajirisha mtu

Kama ww unacheza unaliwa ujue kuna watu wana winn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha uwongo ww

Watu wanakula mamilion kwa ajili ya kubet, juzi kuna mtu kala M 284 mbet unasema kamali haijawahi kumtajirisha mtu

Kama ww unacheza unaliwa ujue kuna watu wana winn

Sent using Jamii Forums mobile app

Hujui kitu ndugu tulia hivyo hivyo,

Kwanza milioni 300 za kitanzamia sio utajiri kiuhalisia hata nyumba katikati ya jiji hupati.

Halafu huyo unaweza kuja kumtafuta baada ya miaka mitatu ukakuta kishawarudishia milioni 400.

Msitumwe kudanganya watu humu

Nina uzoefu kwenye kamari kuliko unavyofikiri nimefanya kazi kwenye casino kabla betting ya mpira haijaingia na sasa betting za mpira zinafanyika hata casino.

KAMARI HAIFAI MWISHO UTAMWEKA DADAKO REHANI,UKIMALIZA UTAMWEKA MKE REHANI,YAANI HAINA ADABU UNAWEZA KULAZA FAMILIA NJAA.

MATAJIRI WAKUBWA WAKUBWA WAMEFILISIKA KWA AJILI YA KAMARI NDO MAANA NAWAAMBIA ULIZENI KWA WALIOKULA CHUMVI MTAAMBIWA, KAMA MMETOKA VIJIJINI TUULIZENI TUNALOLIJUA JIJI HAPA.

Na kwa msaada wa ziada kuna link hii hapa Can You Become Rich Through Gambling? maanake wabongo mpaka muandikiwe na wataalamu tena kwa kimombo ndo mtaelewa
 
nitajie mtu alietajirika kwa kunywa pombe.....kuna watu wamseshinda milioni 100 kwa kubet halafu unasema hakuna aliewahi kutajirika wewe kweli mwehu
 
kila kitu inaitajika disipline ya hali ya juu mkuu hakuna biashara isiyokuwa na hasara
 
nitajie mtu alietajirika kwa kunywa pombe.....kuna watu wamseshinda milioni 100 kwa kubet halafu unasema hakuna aliewahi kutajirika wewe kweli mwehu

kila kitu inaitajika disipline ya hali ya juu mkuu hakuna biashara isiyokuwa na hasara

Ndugu hata kuchangia mada kunahitaji discipline
Mada ni kuhusu kamari SIJASEMA POMBE NI SAWA.

KAMARI SIO BIASHARA KWA WACHEZAJI

Ukiwa mlevi ni rahisi kupatiwa msaada wa kimatibabu na ushauri, uraibu wa KAMARI NI HATARI, kwanza hakuna atakayejua una matatizo, pili uraibu wa kamari huwa waathirika wengi wanachelewa kujua kuwa ni TATIZO mpaka mwisho sana,

Hakuna pesa itakayokaa uraibu ukikuingia kila mara akili hufikiria KAMARI tu na hakuna kipimo kuwa sasa ni mwisho, kuna watu wanapoteza mpaka milioni 50 kwa siku, sasa niambie kama unaweza ukanywa pombe za milioni 50.

Humu kuna watu mbalimbali msipoteze umma kwa kuwadanganya.
 
kamari ni biashara yenye faida kubwa ukiwa na displine....unaweza kupata milioni 100 ndani ya siku moja tu....nitajie biashara unayoweza kuingiza kiasi hicho kwa siku
 
post matokeo ya huo mkeka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huo Mkeka ndiyo mwisho kama unvyoonyesha umeliwa jaribu kusoma maelezo ukicheza multiple ni mchanganyiko sasa wewe umechagua multiple bet then umecheza normal then unalalamika umeibiwa mbet hawakuibii Bali wewe ndiye unayejiibia mkuu siku nyingine angalia unachochagua kabla hujabet unawapa watu lawama bure wakati kosa la kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…