donniebrasco
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 887
- 773
kamari ni biashara yenye faida kubwa ukiwa na displine....unaweza kupata milioni 100 ndani ya siku moja tu....nitajie biashara unayoweza kuingiza kiasi hicho kwa siku
Hiyo unayoiita biashara kuna waliopata milioni 300 kilimanjaro casino kwa masaa tu hata siku haikufika lakini kaulize leo wako wapi ndo utaelewa ninachikieleza nina list ya watu zaidi ya 100 ambao walikuwa wanajulikana hususan kwa hapa Dar na sasa hawana kitu kabisa kwa ajili ya kamari.
Kwa kuelewa zaidi katembelee kila casino utapewa historia ya watu wao waliokuwa wanatamba na leo hii hawana kitu.
Na ukitaka kujua ni tatizo wewe unajiita laki si pesa wakati kwa wengine ni mshahara wa mwezi mzima lakini kwa kuwa wewe unapenda kamari tayari hadi laki unaona sio pesa ... ukiendelea kushiriki kamari hata sh bilioni utaona si pesa....