M.Hussein Zimbwe Jr aongeza mkataba Simba Sc

meneja kama huyu ni hatari kwa ustawi wa mchezaji husika, kwa namna anavyokiwasha zimbwe wakala hakupaswa kupovuka vile, alipaswa kuangalia ofa zingine kama simba wanazingua
 
Zimbwe kawatikisa kidogo wazee wa Bunju na wametikisika haswaaa!
 
ni hasara kubwa zimbwe kuwa na meneja muhuni kama yule
 
Reactions: mmh
Mzozo ni Mzozo kwelikweli sio jina tu vuruguzake anafunga mtaa.
Binafsi sina shida na Zimbwe ninaemmaind Mzozo maneno yake ya shombo kwa klabu yangu.
 
Reactions: mmh
Unaona sasa tuumizwe kwa lipi hapo?
achana naye huyo wa hovyo kweli amesahau azam ilishusha mishahara maximum ikawa milioni 2 ,meneja wa kina boko,manula,kapombe akawapeleka simba leo manula nakula milion 8 ,boko 10 mbona hatukulalalmika mbona hasemi azam wana roho ya kwanini......
yaani simba itukanwe redioni na meneja lihuni halafu tufurahie?na CEO anatukanwa juu
 
Mimi Jambo hili sijalipenda kabisa kwasababu cc kama Simba hatuwezi kufanya kazi kwa maneno machafu ya mtu mwisho wa siku atakuja mwengine ataanza kama huyu mara atakuja manula mara kapombe mara nyoni hizi dharau kubwa sana sijapenda kabisa
 
Reactions: mmh
wahuni wanaona noma kiasi cha kuzuia hata followers kukoment kwenye page zao

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…