meneja kama huyu ni hatari kwa ustawi wa mchezaji husika, kwa namna anavyokiwasha zimbwe wakala hakupaswa kupovuka vile, alipaswa kuangalia ofa zingine kama simba wanazinguandicho ninachowaambia watu hapa eti wanamsifu meneja kwamba kafanikisha hili jambo..subiri sasa manula atakavyoongezewa mkataba juu ya mkataba maana yeye anatekenya kijanja kwamba anahitajika teams za nje hakuna vurugu wala majibishanao kiwango anaonyesha huku anawajambisha
Dah yaani hadi nishaanza kumchukia zimbwe huu mkataba sijui hata kama hela yake ataifurahia pesa kama ya ugomvi au meneja kibaka yule ?