M/Kiti wa BAZECHA Taifa, Hashim Juma Issa aomba radhi watanzania kwa kauli zake za udini

M/Kiti wa BAZECHA Taifa, Hashim Juma Issa aomba radhi watanzania kwa kauli zake za udini

Maji yakisha mwagika hayazoleki.
Ulitaja udini mbaya kuwa sasa viongozi wote wa juu ni waislamu hivyo Zanzibar iingie OIC, kwa kuanzia.
Hata kwa mwonekano wake, unatambulisha yeye ni mtu wa aina gani . Tumpuuze tu kwa kauli zake hizi ila tujue kuwa hayo mawazo yake ya aiana hiyo yako pia vichwani mwa wengine wengi wa aian aina yake.
 
..OIC nimeanza kusikia toka 1993, na mpaka leo hoja hiyo haijaondoka ktk vichwa na vinywa vya Wazanzibari.
 
Back
Top Bottom