Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
"....Simba kama Taasisi huingia mikataba na wadau mbalimbali na tofauti kwenye mikataba huwa zinajitokeza popote pale na kama Klabu tupo kwenye mazungumzo na wadhamini wetu ili mambo yarejee kama kawaida."
"....mabasi yale hayakutafutwa na washabiki ama wanachama bali ni Viongozi ndiwo waliofanya na nikiri/kili kwamba tupo kwenye mazungumzo nao na ni imani hilo nalo litakwisha."
Try again akiongea Azam Tv.
"....mabasi yale hayakutafutwa na washabiki ama wanachama bali ni Viongozi ndiwo waliofanya na nikiri/kili kwamba tupo kwenye mazungumzo nao na ni imani hilo nalo litakwisha."
Try again akiongea Azam Tv.