Walamba asali utawajua tuBarba hatoshi kwenye kupiga deal. Anaziba mianya ya 10%
Yataje wewe hayo unayo yajua!Huyu Mangungu naye haya Wala hayamtoki moyoni anajua.
Msomi ni nani apo ukoloni?Huku Simba SC Morrison kakutana na kisiki, si kule ambako mlimpeleka CAS na akashinda, huku kuna wasomi yaani..!
Lakini amewaweka Utopolo la katiBERNAD MORRISON SIO GAIDI [emoji119]
Acha inyeshe tuone panapovuja
Huko kwenye vilabu vyote alivyoacha alama ya nidhamu mbovu vilikuwa vinaendeshwa kizungu?Mi naona dalili za Simba kuwa timu ya kawaida zinaonekana.
Huwezi kuendesha timu ya kibongo kizungu kizungu ukafanikiwa.Ni lazima utawakwaza wengi tu.
Wachezaji wetu wengi hawajakulia academy,wengi wahuni na wavuta bangi.Sasa ukileta mambo kama ya ulaya huwezi kukaaa na wachezaji wenye vipaji ambao wengi ndio hao kama akina Morrison,Mkude n.k
Lazima uwe flexible na tayari kuishi kwa kuvumilia madhaifu ya wengine.
Huyu mwenekiti na CEO wake hawafai kabisa kwa sababu wanataka Simba iwe kama DTB