Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Murtaza Magungu leo Julai 1, 2022 amesema kuwa CEO Barbara Gonzalez anatosha kabisa kuwa kiongozi wa juu katika Klabu hii kubwa hapa nchini Tanzania.
Mangungu amesema kuwa wale ambao wanaosema kuwa CEO Barbara hatoshi wao hawana maono ya kuona mangapi mazuri na makubwa ambayo ameyatekeleza kwenye Klabu chini ya uongozi wake.
"Barbara anatosha kabisa kuwa kiongozi wa juu ya uongozi wa Klabu ya Simba, na hata wanaosema kuna mambo yanaenda tofauti wala mimi sijaona hayo mapungufu yanayotajwa na hakuna anayetaja ni mapungufu gani". Amesema Mangungu.
Sports HQ
Mangungu amesema kuwa wale ambao wanaosema kuwa CEO Barbara hatoshi wao hawana maono ya kuona mangapi mazuri na makubwa ambayo ameyatekeleza kwenye Klabu chini ya uongozi wake.
"Barbara anatosha kabisa kuwa kiongozi wa juu ya uongozi wa Klabu ya Simba, na hata wanaosema kuna mambo yanaenda tofauti wala mimi sijaona hayo mapungufu yanayotajwa na hakuna anayetaja ni mapungufu gani". Amesema Mangungu.
Sports HQ