Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Umetapeliwa.Huku mtandaoni nmeona kampuni moja wanaitwa m kopa wanakopesha tvs unalipa kidogo kidogo wamesema wapo msavu morogoro karibu na ofisi za halotel nmetuma pesa week Sasa naona kimya je Hawa watu wapo au nimetapeliwa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
DaaaahhhTamaa ndo sababu ya watu kutapeliwa
Hii ndyo shida ya kutaka vitu kiurahisi yaan dezo umetapeliwa kimasiharaHuku mtandaoni nmeona kampuni moja wanaitwa m kopa wanakopesha tvs unalipa kidogo kidogo wamesema wapo msavu morogoro karibu na ofisi za halotel nmetuma pesa week Sasa naona kimya je Hawa watu wapo au nimetapeliwa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mimi nadhani kuwa na adhabu pia kwa wale wanaotapeliwa kizembe, ukitapeliwa kizembe unaenda jera mwaka mmoja. Hii itasaidia wajinga kupungua pia
Unadhani CCM wanavyoinjoi kuitawala tz NI kwa bahati mbaya? Ndiyo kama hivi yaani...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kabisa karne ya taarifa zipo kila mahali,, bado mtu unatuma hela kwa watu usiowafahamu kifalla tu..
Nchi ina watu wa hovyo sana
Tuna Tena haijafika
Atulie dawa imwingieTulia Kwanza, Mpaka Sasa Hivi Umepigwa Mapema
Wahuni vs Kiroboto
Unafaa ukamatwe ulazwe chini upigwe bakora mpaka usemeee mamaaaaa ndio uachiwe .Huku mtandaoni nmeona kampuni moja wanaitwa m kopa wanakopesha tvs unalipa kidogo kidogo wamesema wapo msavu morogoro karibu na ofisi za halotel nmetuma pesa week Sasa naona kimya je Hawa watu wapo au nimetapeliwa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Unadhani CCM wanavyoinjoi kuitawala tz NI kwa bahati mbaya? Ndiyo kama hivi yaani..
Huku mtandaoni nmeona kampuni moja wanaitwa m kopa wanakopesha tvs unalipa kidogo kidogo wamesema wapo msavu morogoro karibu na ofisi za halotel nmetuma pesa week Sasa naona kimya je Hawa watu wapo au nimetapeliwa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
πππππMimi nadhani kuwa na adhabu pia kwa wale wanaotapeliwa kizembe, ukitapeliwa kizembe unaenda jera mwaka mmoja. Hii itasaidia wajinga kupungua pia
Imebidi niji pongeze kwanza nipo morogoro na j3 ilikua nikachukuwe TV ila sikutaka kuletewa nilitaka niende ofisini kwao mojakwamoja.dah Ila udadisi ndio umenikutanisha na post hii.wamenikosaaaaaaaaaaaHii kampuni ya M-kopa ilikuwa inafanya kazi hapa Tanzania mwaka 2015 to 2018 makao makuu yake ni Nchini Kenya.
Wao walikuwa wanakopesha Solar kwa watu wa vijijini kwa mkopo nafuu tu. Ambapo ilikuwa unalipia kidogo kidogo mpaka unamaliza mkopo wako.Ila baadae waliacha kufanya hizo shughuli za kukopesha hizo Solar na kubaki tu na shughuli ya kuhudumia wateja waliokuwa wamekopa yaani kutengeneza na kubadilisha vifaa vya Solar kwa wateja waliokuwa wamekopa.
Hivyo, hicho ulichofanyiwa umetapeliwa kwa sababu M-kopa hawajihusishi tena na huo ukopeshaji.