M kopa wapo Tanzania au nimetapeliwa

M kopa wapo Tanzania au nimetapeliwa

Huku mtandaoni nmeona kampuni moja wanaitwa m kopa wanakopesha tvs unalipa kidogo kidogo wamesema wapo msavu morogoro karibu na ofisi za halotel nmetuma pesa week Sasa naona kimya je Hawa watu wapo au nimetapeliwa.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hii ndyo shida ya kutaka vitu kiurahisi yaan dezo umetapeliwa kimasihara
 
Mimi nadhani kuwa na adhabu pia kwa wale wanaotapeliwa kizembe, ukitapeliwa kizembe unaenda jera mwaka mmoja. Hii itasaidia wajinga kupungua pia

Yaani kabisa karne ya taarifa zipo kila mahali,, bado mtu unatuma hela kwa watu usiowafahamu kifalla tu..

Nchi ina watu wa hovyo sana
 
Yaani kabisa karne ya taarifa zipo kila mahali,, bado mtu unatuma hela kwa watu usiowafahamu kifalla tu..

Nchi ina watu wa hovyo sana
Unadhani CCM wanavyoinjoi kuitawala tz NI kwa bahati mbaya? Ndiyo kama hivi yaani...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku mtandaoni nmeona kampuni moja wanaitwa m kopa wanakopesha tvs unalipa kidogo kidogo wamesema wapo msavu morogoro karibu na ofisi za halotel nmetuma pesa week Sasa naona kimya je Hawa watu wapo au nimetapeliwa.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Unafaa ukamatwe ulazwe chini upigwe bakora mpaka usemeee mamaaaaa ndio uachiwe .
 
We jamaa ukitaka Samsung smart inchi 65 kwa laki sita tena kwa mkopo[emoji23][emoji23]
 
Huku mtandaoni nmeona kampuni moja wanaitwa m kopa wanakopesha tvs unalipa kidogo kidogo wamesema wapo msavu morogoro karibu na ofisi za halotel nmetuma pesa week Sasa naona kimya je Hawa watu wapo au nimetapeliwa.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app

Tukiweka orodha ya wajinga 100 unahisi utashija nafasi ya ngapi kiujinga[emoji23][emoji23]
 
Hii kampuni ya M-kopa ilikuwa inafanya kazi hapa Tanzania mwaka 2015 to 2018 makao makuu yake ni Nchini Kenya.

Wao walikuwa wanakopesha Solar kwa watu wa vijijini kwa mkopo nafuu tu. Ambapo ilikuwa unalipia kidogo kidogo mpaka unamaliza mkopo wako.Ila baadae waliacha kufanya hizo shughuli za kukopesha hizo Solar na kubaki tu na shughuli ya kuhudumia wateja waliokuwa wamekopa yaani kutengeneza na kubadilisha vifaa vya Solar kwa wateja waliokuwa wamekopa.

Hivyo, hicho ulichofanyiwa umetapeliwa kwa sababu M-kopa hawajihusishi tena na huo ukopeshaji.
Imebidi niji pongeze kwanza nipo morogoro na j3 ilikua nikachukuwe TV ila sikutaka kuletewa nilitaka niende ofisini kwao mojakwamoja.dah Ila udadisi ndio umenikutanisha na post hii.wamenikosaaaaaaaaaaa
 
Shemeji yenu na yeye juzi juzi wamemliza hao hao m kopa na wana maelezo hayo hayo! Sasa yeye alitaka kukopa kwa kunificha, baada ya kutapeliwa ndio anakuja nyoko nyoko.

Kuna 40k ya usajili na
40k ya marejesho kwa miezi 10
Nikaona wife ni bwege[emoji23]
 
Back
Top Bottom