M-pesa, tigo Pesa, airtel Money na Maangamizo ya Uchumi wa Tanzania


bwana Dark nilazima ujuwe swala la msing hapa sio kuzuwia huduma ya M. Pesa or any thng ila hapa najitaidi kuelezea uma hasa serikali kuja na uthibiti mkubwa ktk huduma hii,maana hyo 60% yawatanzania wapo ktk umasikini,alafu ndio huya bwana M. Pesa man anataka kuwanyonya kabisa. Nilazima Taifa hili liwe na watu amco ni wenye visiön ktk kuchaguwa mambo, tusilifanye Taifa hl ni shamba la Bibi kila jambo as long as linasaidia masikin basi linakubalika pasipo kuja na sera nzuri kwa manufaa ya wote. Hope umenielewa.
 

Hehe! Aya mkubwa,ila nadhan cnk kuwa na wez nitatizo la watu wa juu ya hyo bank not government even thour serikal inaingizwa kwakuwa ni Mzazi.
 

Well mimi sibishi ila napenda kusema,the issue sio yule na yule wanafanya hv cha msing yapaswa serikal kuja na mpango mkakati ktk kuinua secta za ki bank pasipo kuelemea upande mmoja naku couse uchumi ku colaps,maana kumbuka at the End of the day we have only one Act wich direct all Financial Inst. Mimi nimtu napenda kufikiria b4 sijakubali wazo lolote, ktk hili upande mmoja kuna kama unafuu fulani ila upande wa pili financial institution zinapata wakati mgumu. U must rem taifa lolote lenye uchumi imara basi juwa vyombo vyake vya kifedha vipo imara hvyo We as Tanzania we must stand together to make sure Uchumi wetu unakuwa ktk misingi imara isio yumbishwa yumbishwa na kitu chochote, huwez ku control thaman ya Shiling ikiwa utakuwa huna sheria madhubut ktk kuendesha mashirika yote yanayo fanya biashara ya pesa. So tusipumbazwe na jins wenzetu wamefanya na tusikubal pesa kuwa na milango ming pasipo uzibit mathubut ktk maswala ya fedha...
 
Physical cash is deposited in a bank and only Transactions go through M-pesa.

Naomba ongelea kupungua kwa Bank Transctions na sio Deposits.

Mkuu Mlache umeua. Maana mie jamaa zangu wenye vi-MPESA huwa wana-deposit cash kwenye bank ndipo kampuni inawapa floating cash.
 
Haya ni matunda ya kuwa na serikali na viongozi legelege,wanaofanya maamuzi legelege na kuyasimamia kwa ulegelege....anyway even me nilikuwa nahisi kama kuna impact kwenye uchumi,isipokuwa kwasababu sio mtaalamu wa uchumi nikakosa cha kusema..may be wana-uchumi watupe analysis zenye afya hapa...
 

Hehehe siwashambuli ila nadhan mdahalo ni mkali na pia inaonyesha watu wanataka kuwa washabiki zaidi ila naunga mkono oja mkubwa.
 

Mawazo yako yamekuwa chanya kupita yangu,i wish ungekuwa mahal pautekelezaji wl could have gud result.
 

Bon naungana hoja ktk maneno ya mwisho juu ya uthibiti, ila napingana nawewe kuwa kuwa na pesa bank mabilion haina maana labda kama hyo bank iwe bank M.pesa. Ila kumbuka kuanzia tsh20,000/= inathaman hvyo kumpa riba mteja. Mtu ukiwa bilion bank ktk fixed 4three month wewe sio mwenzetu na hyo ndio faida kuweka fedha bank ila weka 1m ktk M.pesa kama ujakuta imeisha kwa charges. Nadhani kunahaja yakuwa makini zaid ktk uchangiaji. Pia kumbuka sm project zinaanzishwa kwakuwa uwelewa ni mdogo hvyo tunanyonywa pasipo kujuwa so nadhan bado tunahaja yakuwa namjadala mpana kujuwa vile twaweza saidia taifa letu.
 
Physical cash is deposited in a bank and only Transactions go through M-pesa.

Naomba ongelea kupungua kwa Bank Transctions na sio Deposits.

Bwana Mlachake umejitahidi lakini unajuwa kila jambo haliwi na effect moja nilazima ujuwe kupungua kwa deposit,pia kuna punguza transaction ktk bank ambayo inaenda ku affect every ATM KTK taifa hili, ambapo pia mwisho wake ni kufungwa kwa sm of ATM. Pia nilazima ujuwe Pesa ilipo bank inakuwa na thaman kwa mwananchi husika,leo tumempa mtu mmoja kukusanya trans zote kwa asilim200% nakuja kulipa 100% au 75% in terms of charge while at the same tm anafaidi Riba. Jambo ambalo sio ungwana. Nikiwa kama mdau ktk secta hii napinga wizi huu maana nibora kila mtanzania akawa na akaunti jambo linalowezekana either u like or not then taifa lingekuwa ktk wakat mzuri kiuchumi.
 

Umesema hauko mbali ktk hili,ila huwitaji kuwaza sana ila chukua hii issue kama nyumban na familia yako, mama awe bank na mtoto awe M. Pesa waza ndugu jama wanapo taka fedha inakuwaje? Wakati mama akiwa bank na sasa una M. Pesa mtoto? That is how uchumi wetu umefika.
 
Mkuu naona unatokwa povu kwa kitu usichokijua vizuri. Pia naona kidogo hesabu za asilimia hukumwelewa mwalimu vizuri au umepitiwa kutokana na ugumu wa maisha.

Hizo fedha zilizoko mpesa au the like bado ziko kwenye mabenki. siyo kweli kuwa makampuni ya simu yanakaa na pesa zooote hizo. Hivyo sababu yako ya kuua uchumi kwa kutoa fedha bank siyo kweli. fedha halisi bado zina kaa bank na figures tu ndo zinakaa kwenye systems zao.

Pia ghalama inayotozwa ni less than 3%. hata banks kama crdb wanatoza fedha ukideposite kwenye account iliyoko branch nyingine.

Huduma hizi ni exellent na zimesaidia kukuza uchumi kwani zinapunguza gharama ya kufanya biashara.
 
Kwangu mimi naona mitandao imetusaidia sana watu ambao wako wilayani hivi unajua kutoa pesa kwenye ATM za bank unakatwa 5000 kuanzia kiasi cha sh 5000 mpaka 99,999 ukitoa 100,000 na kuendelea unakatwa 10,000 tofauti na mkoani utakatwa chini ya sh 400. hiyo ndiyo hali halisi ya mabank jaribu siku moja kutoa pesa kwenye ATM za wilayani ni wizi mtupu.
 
TumainiEl

Ungeanza kuelezea jinsi Mpesa inavyofanya kazi then utuoneshe ni jinsi gani iyakavyoathiri uchumi wa nchi. So far naona unarukaruka tu bila ya kueleza ni jinsi gani uchumi wa nchi utakavyoathirika.

By the way hapa UK soon hiyo system ya kutuma hela kwa njia ya simu itakuwa introduced
 

Gharama iliyojificha huko Wilayani ni nauli toka kijijini mpaka ilipo bank, ambapo mara nyingi ni pale yalipo makao ya Wilaya. Kabla ya M-pesa, jamaa yangu alikuwa anatumia 40,000/ nauli na malazi kwenda na kurudi wilayani kila inapobidi kwenda kufuata fedha, bila kujali ni kiasi gani.

Tuiambie serikali iimarishe huduma za benki. Maeneo mengi wanakokaa ndugu zetu hakuna benki, kwa sasa M-Pesa ni mkombozi. Habari za uchumi kuanguka ni jukumu la watalaamu wetu kulitolea ufumbuzi.
 

wacha uongo. HUna HOJA bali ni VIOJA!
 
Mi sio mtaalamu wa maswala ya fedha ila kwa mtazamo nakubaliana na Tumaniel kuwa pesa inapo kaa bank mtu unaweza kopa na kufanya biashara na kukuza uchumi je pesa nyingi ikiwa ktk mpesa, tigopesa je inaweza kopesheka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…