jamani wadau mi ni graduate ila sijapata kazi nataka kuwa wakala wa m-pesa, tigo-pesa nimekopa mtaji nimeshapata ila nimekosa fursa ya kusajiliwa na huduma hii, nilienda tigo wakaniambia wamesitisha usajili wa mawakala na voda wakaniambia vivyohivyo sasa nipo dilema nami nilishajipanga kufanya kazi hii, naombeni msaada mtaji wangu usijekupotea nipo dar. pls kwa msaada ni pm tafadhali.
hivi kamtaji ka mpesa unaweza kuwekeza kwenye uwakala wa gas mkuupole sana...sasa itakuweje mkuu....angalia pia kuwekeza pengine kama vile wakala wa usambazaji gesi za kwenye mitungi...kama oryx, mohan nk...zinalipa kinoma.
pole sana...sasa itakuweje mkuu....angalia pia kuwekeza pengine kama vile wakala wa usambazaji gesi za kwenye mitungi...kama oryx, mohan nk...zinalipa kinoma.
mkuu nasikia gesi ya mihani imezuiwa tanzania....ni kweli?