Eistein
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,107
- 482
Hahahhahahahahhha!
Washukuriwe wagunduzi wa MPESA,TIGO PESA,
Maisha yangu sasa maisha yangu laaaaaaaaaaaaini!
Hata usiku wa manane salio likikata nabofya tu na kuendelea kuenjoy,
Wazee wangu kijijin hata nikipiga kidili cha elfu 10 na wapunguzia buku 5,
Dogo naye huko shule akibip nampunguzia jero yan raha km nn!
Ni kweli Cantalisia, huduma hizi za pesa ni nzuri na zimesaidia sana, lengo la kuanzishwa kwake ni zuri sana bt tatizo ni jinsi ya watumiaji wanavyoitumia ndio balaa huanzia hapo.