Aisee...wewe na Asprin lazima mnaitwa washua mnalenga mle mle.Inahusu pia kama huna tatizo kwenye malipo na ishu za pesa
timu ya mtaani ikija na mchango wa jezi unatoa tu fasta
jirani kuna msiba...mchango uko fasta
fundi anafyatua matofali hubishani malipo sana
unalipa in time...
Sometimes utasikia 'jamaa mzungu sana'
yule m sure hana shida....
Afu wewe... sichezi tena na wewe...[emoji23][emoji23][emoji23]mshua
Hahahaa wenzio tushazoea kuitwa mbaba.... utasikia "peleka hii bill kwa yule mbaba amekaa meza ya mwisho"... Anayesema hivyo ni mkubwa kuliko mkeo... hahahaaWa jinsia yako wananiita Mkaka. Siku mkianza kuniita Mbaba tutagombana.🙂🙂
Nadhani hilo neno ni Rejesta na limetoholewa kwenye lugha ya kizungu yani "IM SURE" na waswahili kutoa neno "I" na kubaki "M-SURE" lenye maana ya kimtaa MSHUA kwa maana mtu wa uhakika yaani mtu unayemwamini kwa kuwajibika na kuwa na msaada kwa kuwa ni mtu mzimaHivi M-sure maanake nini? Nauliza hivi kwasababu kuna vijana around my office wananiita m-sure hata around my neighbourhood vijana wengine wananiita m-sure. Ni vijana nimewazidi miaka 10 au 15 hivi.
Utawasikia m-sure mamabo vipi? Au m-sure heshima yako?
Enzi mimi nakua m-sure tulikuwa tunamuita baba. Sasa ina maana mimi nalingana na baba zao hawa vijana au m-sure ina maana gani? Im over 30!
Good to know its a compliment.Nadhani hilo neno ni Rejesta na limetoholewa kwenye lugha ya kizungu yani "IM SURE" na waswahili kutoa neno "I" na kubaki "M-SURE" lenye maana ya kimtaa MSHUA kwa maana mtu wa uhakika yaani mtu unayemwamini kwa kuwajibika na kuwa na msaada kwa kuwa ni mtu mzima
Huna lolote unataka usiombwe matangoAfu wewe... sichezi tena na wewe...
Utakua mbahili mkuu[emoji23][emoji23]ukinyoosha tu mkono wako utaanza itwa mshuaWa jinsia yako wananiita Mkaka. Siku mkianza kuniita Mbaba tutagombana.🙂🙂
Una pigo za kidingi...Hivi M-sure maanake nini? Nauliza hivi kwasababu kuna vijana around my office wananiita m-sure hata around my neighbourhood vijana wengine wananiita m-sure. Ni vijana nimewazidi miaka 10 au 15 hivi.
Utawasikia m-sure mamabo vipi? Au m-sure heshima yako?
Enzi mimi nakua m-sure tulikuwa tunamuita baba. Sasa ina maana mimi nalingana na baba zao hawa vijana au m-sure ina maana gani? Im over 30!
We ni wa kunichomesha mahindi namna hii??Huna lolote unataka usiombwe matango
Ila we m-sure una matatizo ujue...uchome tu hayo mahindiWe ni wa kunichomesha mahindi namna hii??
Basi sawa... mi namwachia Mungu akuone...Ila we m-sure una matatizo ujue...uchome tu hayo mahindi
[emoji23]ukisusa wenzio walaaBasi sawa... mi namwachia Mungu akuone...
Basi sawa kama umeamua kuwapakulia mwenyewe....[emoji23]ukisusa wenzio walaa
[emoji23][emoji23]Basi sawa kama umeamua kuwapakulia mwenyewe....