M-sure....

M-sure....

Inahusu pia kama huna tatizo kwenye malipo na ishu za pesa
timu ya mtaani ikija na mchango wa jezi unatoa tu fasta

jirani kuna msiba...mchango uko fasta

fundi anafyatua matofali hubishani malipo sana
unalipa in time...


Sometimes utasikia 'jamaa mzungu sana'
yule m sure hana shida....
Aisee...wewe na Asprin lazima mnaitwa washua mnalenga mle mle.
 
Wa jinsia yako wananiita Mkaka. Siku mkianza kuniita Mbaba tutagombana.🙂🙂
Hahahaa wenzio tushazoea kuitwa mbaba.... utasikia "peleka hii bill kwa yule mbaba amekaa meza ya mwisho"... Anayesema hivyo ni mkubwa kuliko mkeo... hahahaa
 
Hivi M-sure maanake nini? Nauliza hivi kwasababu kuna vijana around my office wananiita m-sure hata around my neighbourhood vijana wengine wananiita m-sure. Ni vijana nimewazidi miaka 10 au 15 hivi.

Utawasikia m-sure mamabo vipi? Au m-sure heshima yako?

Enzi mimi nakua m-sure tulikuwa tunamuita baba. Sasa ina maana mimi nalingana na baba zao hawa vijana au m-sure ina maana gani? Im over 30!
Nadhani hilo neno ni Rejesta na limetoholewa kwenye lugha ya kizungu yani "IM SURE" na waswahili kutoa neno "I" na kubaki "M-SURE" lenye maana ya kimtaa MSHUA kwa maana mtu wa uhakika yaani mtu unayemwamini kwa kuwajibika na kuwa na msaada kwa kuwa ni mtu mzima
 
Nadhani hilo neno ni Rejesta na limetoholewa kwenye lugha ya kizungu yani "IM SURE" na waswahili kutoa neno "I" na kubaki "M-SURE" lenye maana ya kimtaa MSHUA kwa maana mtu wa uhakika yaani mtu unayemwamini kwa kuwajibika na kuwa na msaada kwa kuwa ni mtu mzima
Good to know its a compliment.
 
Utakuwa na vihela vya kubadili mboga,kutoa ofa kwa mayanki za hapa na pale pamoja na kivitz cha kwenda kunywea beer jioni kwenye grocery
 
Hivi M-sure maanake nini? Nauliza hivi kwasababu kuna vijana around my office wananiita m-sure hata around my neighbourhood vijana wengine wananiita m-sure. Ni vijana nimewazidi miaka 10 au 15 hivi.

Utawasikia m-sure mamabo vipi? Au m-sure heshima yako?

Enzi mimi nakua m-sure tulikuwa tunamuita baba. Sasa ina maana mimi nalingana na baba zao hawa vijana au m-sure ina maana gani? Im over 30!
Una pigo za kidingi...
 
Utakuwa na vihela vya kubadili mboga,kutoa ofa kwa mayanki za hapa na pale pamoja na kivitz cha kwenda kunywea beer jioni kwenye grocery
Ha ha ha hako ka Vits umesoma comment yangu au ume guess?!
 
Back
Top Bottom