MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Watasagwa sio mdawatutsi tuko vizuri mazee dah...wakongoman wazidi kutukatia maunooo
DahJamani, vita vya DRC ni kama comedi.
Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni.
Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake.
Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola
View: https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46
View: https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123
Vita hii ipo nje ya uwezo wa rais.
Jamani, vita vya DRC ni kama comedi.
Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni.
Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake.
Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola
View: https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46
View: https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123
View: https://x.com/kivunews24/status/1891449216720949392
Vita hii ipo nje ya uwezo wa rais.
Shida ni kiwa inawezekana kuwa vita inapiganwa kitoka nje ya DRC na nje ya bara giza na pengine wanaopiganishwa hawajui nini kinawatokea kwa kuwa wanawaza kula na kushiba na hata kuvimbiwa pekee.Jamani, vita vya DRC ni kama comedi.
Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni.
Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake.
Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola
View: https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46
View: https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123
Vita hii ipo nje ya uwezo wa rais.
Hii ndio Maana ya Uzalendoš¤£š¤£š¤£Jamani, vita vya DRC ni kama comedi.
Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni.
Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake.
Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola
View: https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46
View: https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123
View: https://x.com/kivunews24/status/1891449216720949392
Vita hii ipo nje ya uwezo wa rais.
Hao wananchi hawaogopi tena Kwamba M23 wanaweza kufumuliwa na wao wakateketea hapo hapoš¤£Jamani, vita vya DRC ni kama comedi.
Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni.
Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake.
Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola
View: https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46
View: https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123
View: https://x.com/kivunews24/status/1891449216720949392
Vita hii ipo nje ya uwezo wa rais.
Raia mpe uhakika wa usalama wake na chakula. Mengine yanawahusu wana siasa. Huenda hapo FARDC ikirudi na yenyewe ikapokelewa kwa shangwe.Hao wananchi hawaogopi tena Kwamba M23 wanaweza kufumuliwa na wao wakateketea hapo hapoš¤£
Kweli kabisaRaia mpe uhakika wa usalama wake na chakula. Mengine yanawahusu wana siasa. Huenda hapo FARDC ikirudi na yenyewe ikapokelewa kwa shangwe.