M23 Kamanyola

M23 Kamanyola

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
watutsi tuko vizuri mazee dah...wakongoman wazidi kutukatia maunooo
 
Jamani, vita vya DRC ni kama comedi.
Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni.
Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake.
Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola



View: https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46


View: https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123


Vita hii ipo nje ya uwezo wa rais.

Shida ni kiwa inawezekana kuwa vita inapiganwa kitoka nje ya DRC na nje ya bara giza na pengine wanaopiganishwa hawajui nini kinawatokea kwa kuwa wanawaza kula na kushiba na hata kuvimbiwa pekee.
 
Jamani, vita vya DRC ni kama comedi.
Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni.
Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake.
Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola



View: https://x.com/dr_dash250/status/1891498868463792504?s=46


View: https://x.com/wembi_steve/status/1891466715671769123


View: https://x.com/kivunews24/status/1891449216720949392


Vita hii ipo nje ya uwezo wa rais.

Hao wananchi hawaogopi tena Kwamba M23 wanaweza kufumuliwa na wao wakateketea hapo hapo🤣
 
Back
Top Bottom