MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
sijawahi ona vita waliokufa wanazidi majeruhi!!
Hiyo ni report ya monusco kwa bi robinson.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijawahi ona vita waliokufa wanazidi majeruhi!!
yea right! wapi umeona mtu akishamchapa mwenzie anarudi nyuma 30km na kuachia ngome zake? M23 wamechapwa na kama kawaida yao wakishachapwa wanajifanya watu wa amani baadae wanaanza ooh tunakwenda hadi kinshasa...haya mazungumzo ni mbinu ya M23 kukwepa kichapo na kupoteza makomandoo wa Rwanda!Hakuna ngumi za uso,yani wewe hata hujui kilichotokea goma,DRC ndio walitoka katika mazungumzo kampala wakifikiri watatumia vita,lakini waliambulia kichapo toka kwa M23,unahabari katika siku kumi za mapigano walikufa askari 6000,majeruhi 800,na mateka 120 wa DRC,na DRC walikua wameapa kwamba hawatarudi kwa mazungumuzo,mimi na patia ushindi M23,Kwani wao walihitaji maongezi zaidi ya vita.