MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Wakati SADC ikikubaliana kuondoa majeshi yake nchini DRC,
Uongozi wa Saouth Afrika waanza kuandaa mazungumzo na kundi la M23. Mazungumzo haya,ni baada ya kuahidi uongozi wa South Afrika kuwa,wanajeshi wake wakijisikia kutembea mjini Goma,wanaruhusiwa,ila, bila silaha.
Changamoto kubwa upande wa South Africa:
Inasemekana, thamani ya silaha za South Africa zilizopelekwa Goma na kuishia mikononi mwa M23, ni Rand Bilioni 9.
M23 na yenyewe,haipo tayari kuachia hata risasi moja.
Hivyo,South Africa, inakabiliwa na hasara kubwa sana.
Ikumbukwe,bungeni,walilalamikia waziri wa ulinzi,kuhusu teknologia na silaha hizo,na hakupata jibu.
Hakika mchawi wa M23 si wa dunia hii.
Uongozi wa Saouth Afrika waanza kuandaa mazungumzo na kundi la M23. Mazungumzo haya,ni baada ya kuahidi uongozi wa South Afrika kuwa,wanajeshi wake wakijisikia kutembea mjini Goma,wanaruhusiwa,ila, bila silaha.
Changamoto kubwa upande wa South Africa:
Inasemekana, thamani ya silaha za South Africa zilizopelekwa Goma na kuishia mikononi mwa M23, ni Rand Bilioni 9.
M23 na yenyewe,haipo tayari kuachia hata risasi moja.
Hivyo,South Africa, inakabiliwa na hasara kubwa sana.
Ikumbukwe,bungeni,walilalamikia waziri wa ulinzi,kuhusu teknologia na silaha hizo,na hakupata jibu.
Hakika mchawi wa M23 si wa dunia hii.