M23 yaituhuhumu MONUSCO kuwaachia huru badhi ya wanajeshi na waasi wa FDLR

M23 yaituhuhumu MONUSCO kuwaachia huru badhi ya wanajeshi na waasi wa FDLR

Marie Antoinette

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
426
Reaction score
412
Msemaji mkuu wa M23, Lawrence kanyuka, ametangaza kukamatwa kwa watu 5, 3 wakiwa wanajeshi wa FARDC(jeshi la Congo) na 2 wengine wakiwa wanamgambo wa FDLR. Watu hawa walikamatwa na bunduki 4 na mambomu ya kurushwa kwa mkono. Katika kuhojiwa, walisema walikuwa katika kambi ya MONUSCO mjini humo, na kwamba wameachiwa kwa lengo la kuvuruga amani mjini humo.

Amesema kwamba, watu hao ndo walioeleza azimio lao na idadi ya walioachiwa huru, huku akitangaza kwamba msako mkali mjini unafanyika kuhakikisha wanakamatwa.
Awali, M23 iliongeza wanajeshi wapatao 500 mjini Goma, lengo likiwa ni kuimalisha usalama na kuhakikisha wanajeshi na wanamigambo waliojificha mjini humo wanakamatwa, pamoja na wafungwa waliotoroka gereza la Goma.
 
Msemaji mkuu wa M23, Lawrence kanyuka, ametangaza kukamatwa kwa watu 5, 3 wakiwa wanajeshi wa FARDC(jeshi la Congo) na 2 wengine wakiwa wanamgambo wa FDLR. Watu hawa walikamatwa na bunduki 4 na mambomu ya kurushwa kwa mkono. Katika kuhojiwa, walisema walikuwa katika kambi ya MONUSCO mjini humo, na kwamba wameachiwa kwa lengo la kuvuruga amani mjini humo.

Amesema kwamba, watu hao ndo walioeleza azimio lao na idadi ya walioachiwa huru, huku akitangaza kwamba msako mkali mjini unafanyika kuhakikisha wanakamatwa.
Awali, M23 iliongeza wanajeshi wapatao 500 mjini Goma, lengo likiwa ni kuimalisha usalama na kuhakikisha wanajeshi na wanamigambo waliojificha mjini humo wanakamatwa, pamoja na wafungwa waliotoroka gereza la Goma.
walitakiwa kuwaachia wote infact.
 
Dunia ni ya kinafiq sanai sana hii,ila mzungu nadhani ndie shetani mwenyewe japo katuundia kanisa tumsake shetani.
 
INAMAANA GOMA TAYARI IMESHAKUWA NCHI NDANI YA DRC? M23 TAYARI WAMESHAUNDA KA NCHI KAO HAPO TAYARI
Sasa ukikaita ka nchi, Rwanda na Burundi utaviitaje! Nahisi eneo walilonalo litakuwa kama Rwanda na Burundi zaidi ya mara mbili
 
Dunia ni ya kinafiq sanai sana hii,ila mzungu nadhani ndie shetani mwenyewe japo katuundia kanisa tumsake shetani.
Bora mgalatia umeliona hilo..na hapo hapo anakwambia usome waraka wa Papa Francis muwabariki LGBT
 
Kwani kikundi cha waasi kina kuwa na ukomo wa idadi au vipi unavyoelewa wewe?
kikundi cha waasi hakina ukomo wa idadi ya watu lakin inasemekana m23 ni kikundi cha waasi wenye asili ya kitutsi waishio kongo. Hapo ndio penye shaka. Wale watutsi ni kabila dogo linawezaje kuwa na jeshi kubwa hivo? Utadhan hawafi wakati wanauana miaka nenda rudi kabila gan dogo lenye jeshi kubwa hivo? Waseme ukweli rwanda na uganda ndio wanaopiga wakongo kwa mwamvuli wa m23
 
kikundi cha waasi hakina ukomo wa idadi ya watu lakin inasemekana m23 ni kikundi cha waasi wenye asili ya kitutsi waishio kongo. Hapo ndio penye shaka. Wale watutsi ni kabila dogo linawezaje kuwa na jeshi kubwa hivo? Utadhan hawafi wakati wanauana miaka nenda rudi kabila gan dogo lenye jeshi kubwa hivo? Waseme lukweli rwanda na uganda ndio wanaopiga wakongo kwa mwamvuli wa m23
Sawa hao watusi walivamia hayo maeneo
 
kikundi cha waasi hakina ukomo wa idadi ya watu lakin inasemekana m23 ni kikundi cha waasi wenye asili ya kitutsi waishio kongo. Hapo ndio penye shaka. Wale watutsi ni kabila dogo linawezaje kuwa na jeshi kubwa hivo? Utadhan hawafi wakati wanauana miaka nenda rudi kabila gan dogo lenye jeshi kubwa hivo? Waseme ukweli rwanda na uganda ndio wanaopiga wakongo kwa mwamvuli wa m23
Hebu kidogo tumia basi akili M23 hawapati upinzani wwt wa maana kutoka DRC zaidi wanapiga porojo...miaka nenda rudi jeshi la congo linategemea mamluki...
Rejea maneno ya mwalimu Nyerere hao ni wacongomani wenzao hata kama wana mamluki kutoka Rwanda 🇷🇼 ni mbinu ya vita kwani si uliona mamluki wa Congo ambao ni wazungu..sasa na M23 hata kama atatumia mamluki wa Rwanda shida ipo wapi?
 
Hebu wajibu swali la Tolu kwnz hapo DRC..wana mda gani UN?...na mgogoro hauishi tuu?
Af na nyie bhana. Sasa mnaposikia mashirika ya umoja wa mataifa, hiyo si ni ajira? Vita vikiisha watakula wapi? Mishahara yao unakuta dereva analipwa kama dola elfu 5, na huyo anaonekana kama mbuzi tu. Je, wa ofisini? Lazima wahakikishe wanatengeneza ajira.
Umesikia MONUSCO iliachia watu 100 kuvuruga amani mjini Goma. Unadhani nani atasema waondoke wakati hakuna amani? Lazima watengeneze migogoro wapate kubaki. Sema tall akisema wanamuona gaidi,lakini vitu vingine ana point. Wapi waliwahi kwenda amani ikapatikana?
 
Back
Top Bottom