Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mambo yanaenda kasi sanaINAMAANA GOMA TAYARI IMESHAKUWA NCHI NDANI YA DRC? M23 TAYARI WAMESHAUNDA KA NCHI KAO HAPO TAYARI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yanaenda kasi sanaINAMAANA GOMA TAYARI IMESHAKUWA NCHI NDANI YA DRC? M23 TAYARI WAMESHAUNDA KA NCHI KAO HAPO TAYARI
Mie nipo pamoja na ToluAf na nyie bhana. Sasa mnaposikia mashirika ya umoja wa mataifa, hiyo si ni ajira? Vita vikiisha watakula wapi? Mishahara yao unakuta dereva analipwa kama dola elfu 5, na huyo anaonekana kama mbuzi tu. Je, wa ofisini? Lazima wahakikishe wanatengeneza ajira.
Umesikia MONUSCO iliachia watu 100 kuvuruga amani mjini Goma. Unadhani nani atasema waondoke wakati hakuna amani? Lazima watengeneze migogoro wapate kubaki. Sema tall akisema wanamuona gaidi,lakini vitu vingine ana point. Wapi waliwahi kwenda amani ikapatikana?
Unajua kuna mtu nilimueleza nikamwambia ile m23 ina mpaka wabongo watu wanapiga ndondo mle akakazana sana , m23 hii ya sasa sio ile unga unga mwanakikundi cha waasi hakina ukomo wa idadi ya watu lakin inasemekana m23 ni kikundi cha waasi wenye asili ya kitutsi waishio kongo. Hapo ndio penye shaka. Wale watutsi ni kabila dogo linawezaje kuwa na jeshi kubwa hivo? Utadhan hawafi wakati wanauana miaka nenda rudi kabila gan dogo lenye jeshi kubwa hivo? Waseme ukweli rwanda na uganda ndio wanaopiga wakongo kwa mwamvuli wa m23
Sawa hao watusi walivamia hayo maeneo
ukweli nh kwamba m23 sio wakongo ni jeshi la rwanda na uganda ndo wamevamia kongo kwa mwamvuli wa m23Kwa mujibu wa ripoti ya UN, Rwanda ina askari 4000+ waliopo Drc wakipagana bega kwa bega na M23.
Loading…
www.google.com
ndo ivo watu wameona fursa pale hata ingekuwa mimi ningefanya ivo ivoUnajua kuna mtu nilimueleza nikamwambia ile m23 ina mpaka wabongo watu wanapiga ndondo mle akakazana sana , m23 hii ya sasa sio ile unga unga mwana
Huna akili wewe watusi ni WA kimbizi tangia lini hapo goma nimegundua Kuna mijitu kama wewe hata haijui huo mgogoro ila inajifanya mijuaji eti watusi wakimbiziNi wakimbizi kibaya zahdi wanataka kutawala kipande cha aridhi ndani ya taifa la
ukweli nh kwamba m23 sio wakongo ni jeshi la rwanda na uganda ndo wamevamia kongo kwa mwamvuli wa m23
tulia mdogo huna unalolijua, ndo tatizo la vijana wa siku hizi jambo usilolijua unakimbilia kutukana. Wewe hujui historia ya watutsi au unazingatia ile clip ya hotuba ya nyerere. Mimi nawajua wanyamulenge wale ni wakimbizi wa rwandaHuna akili wewe watusi ni WA kimbizi tangia lini hapo goma nimegundua Kuna mijitu kama wewe hata haijui huo mgogoro ila inajifanya mijuaji eti watusi wakimbizi