M23 yatangazia umma kuwa safari za Kivu Kaskazini na Goma zipo wazi masaa 24

M23 yatangazia umma kuwa safari za Kivu Kaskazini na Goma zipo wazi masaa 24

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
1739811621265.png


Mkuu wa mkoa wa Kivu Kasikazini, anapenda kuwafahamisha wakazi wa Kivu kasikazini na Kivu kusini, hasa miji ya Goma na Bukavu, kuwa miaro yote ya ya Goma na Bukavu kuanzia sasa inatoa huduma masaa 24,kuanzia kesho tarehe 18-2-2025 saa kumi na mbili asubuhi.

Watoa huduma wote, wanatakiwa kuhakikisha hudua zinapatikana ipasavyo.

Ikumbukwe, mkuu wa Kivu kasikazini, marehemu Chirimwami, alikuwa amefunga safari za mida ya usiku,njia za maji na ardhini.
 
Back
Top Bottom