M23 yaweka viongozi wapya Goma

M23 yaweka viongozi wapya Goma

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Baada ya wiki, mji wa Goma mashariki mwa DRC, kuangukia mikononi mwa kundi la M23, uongozi huo umewaweka viongozi wapya, ili jamii iweze kuendelea kupata huduma za kiserikali.
Bwana BAHATI MSANGA JOSEPH, ndo ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa.

Ikumbukwe, siku za nyuma serikali ilimteua MAJOR GENERAL Evariste Kakule somo kuchukuwa nafasi ya Chirimwami aliyeuliwa na kundi hilo la M23. SONKO ofisi zake zipo Beni. Hivyo, katika majimbo ya Kivu Kasikazini, asilimia kubwa mpaka sasa utawala upo chini ya M23, na Beni, ambayo nusu yake ipo mikononi mwa FARDC, ndo itakuwa makao makuu ya sehemu ambayo haikuangukia mikononi mwa kundi hilo.



M23 1.jpeg



M23 2.jpeg
 
Baada ya wiki, mji wa Goma mashariki mwa DRC, kuangukia mikononi mwa kundi la M23, uongozi huo umewaweka viongozi wapya, ili jamii iweze kuendelea kupata huduma za kiserikali.
Bwana BAHATI MSANGA JOSEPH, ndo ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa.

Ikumbukwe, siku za nyuma serikali ilimteua MAJOR GENERAL Evariste Kakule somo kuchukuwa nafasi ya Chirimwami aliyeuliwa na kundi hilo la M23. SONKO ofisi zake zipo Beni. Hivyo, katika majimbo ya Kivu Kasikazini, asilimia kubwa mpaka sasa utawala upo chini ya M23, na Beni, ambayo nusu yake ipo mikononi mwa FARDC, ndo itakuwa makao makuu ya sehemu ambayo haikuangukia mikononi mwa kundi hilo.



View attachment 3226367


View attachment 3226368
Hivi majeshi hayawezi kutumia majasusi wenye miili ya kawaida kuwavuruga m23 kwa kujiunga nao ? na kupandikiza chuki baina yao kutowesha umoja? Kuna nini?
 
Hivi majeshi hayawezi kutumia majasusi wenye miili ya kawaida kuwavuruga m23 kwa kujiunga nao ? na kupandikiza chuki baina yao kutowesha umoja? Kuna nini?
Hahahahahahha, kwa hiyo, unadhani ni jambo la siku moja? Wenzetu jambo kama hilo hulipanga kwa muda wa zaidi ya miaka 100. Sisi wa Afrika tunawa jambo la muda huo, wenzetu wanawawazia vitukuu
 
11 February 2025
Biashara kati ya Rwanda na jimbo la Kivu ya Kaskazini inazidi kukua kutokana na utawala mpya wa M23 Kongo ya Mashariki

View: https://m.youtube.com/watch?v=6JcAhXiIleo
Waziri wa Biashara wa Rwanda mheshimiwa Prudence Sebahizi amesema huku akitoa takwimu mpya kufuatia utawala mpya wa M23 kushika hatamu.

Idadi ya watu wanaovuka mpaka wa Rubavu Rwanda na Goma DR Congo kwenda na kurudi kwa kuvuka mpaka imeongezoka kutoka 12,000 hapo awali hadi 25,000 kwa siku huku mpaka ukifanya kazi kuanzia 12 asubuhi hadi 12 jioni
 
11 February 2025
Kigali, Rwanda

DIRA YETU : Mkutano wa SADC na EAC : Je Juhudi za kikanda zitazaa matunda

View: https://m.youtube.com/watch?v=7yFtcZzuSJc
Mzee Isidore Gahamanyi mchambuzi wa siasa, aliyesoma Congo miaka ya 1950 kisha kufanya kazi kwa miaka mingi nchini Tanzania azungumzia hali halisi... kwa pamoja na Paul Rutikanga mwandishi mchambuzi wa Rwanda RTV / RBA wakiangalia uwanja mpana wa uwezekano wa kutatua mgogoro huu mrefu usiokwisha ..

Source : Rwanda TV
 
Back
Top Bottom