Ma-celeb wa kitanzania wanatakiwa kujifunza kutoka kwa Zari

Wa hapa wanachojua ni kupanua miguu hadi kongosho lionekane kisa hela tu. Wakitoka hapo no kwenda kushinda IG kupost tu, kuongea upupu nakadhalika. Akili ya maisha ni zero kabisa, kina Flavian ndiyo wanawake wanaojitambua
 
Ukwel mtupu mkuu!
 
Wao hoja yao kubwa ni kuwa ana watoto wengi wakati wao kazi ni kutoa hizo mimba na kujifanya watoto
 
Wengine wana watoto na kuachika wameshaachika wapo mawindon kusaka wanaume wengine ila yao hawayaoni wanayaona ya zari tu
Wao hoja yao kubwa ni kuwa ana watoto wengi wakati wao kazi ni kutoa hizo mimba na kujifanya watoto
 
Wa hapa wanachojua ni kupanua miguu hadi kongosho lionekane kisa hela tu. Wakitoka hapo no kwenda kushinda IG kupost tu, kuongea upupu nakadhalika. Akili ya maisha ni zero kabisa, kina Flavian ndiyo wanawake wanaojitambua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yah wanasema ni mkubwa kiumri.ni kweli ni mkubwa.

Anawaonyesha kivitendo kwamba yeye ni mkubwa.
 
Hero kuwa mama watano ata kumi kuliko kuwa mama wa marehemu kw kutoa mimba ukijidai ww n msichana mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…