Ma Dr na watu wa Afya Mje mniokoe😭

1. Achana na dawa zote (pain killer na ujinga mwingine)

2. Nenda muhimbili kaangalie full blood picture
 
Ukimaliza options zako zote usisahau yuko Mungu anaishi, na kwake hakuna linaloshindikana inahitaji imani yako kidogo tu kama chembe ya haradani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…