Naishi kwa shangaziJobless una hadi kochi kweli?..
Kidding..
Vijana tupambane na tuwe wavumilivu
Uvumilivu ndio jambo kuuJobless una hadi kochi kweli?..
Kidding..
Vijana tupambane na tuwe wavumilivu
Point,Ngoja niwashauri wadogo zangu
Kama wewe ni jobless na una uhakika wa kula na kulala home
Fanya hivi, jichanganye kitaa ujifunze tuvitu vitu twingi twingi kama kunyoa, ufundi simu, ujenzi, udereva
Baada ya muda utapata uelekeo na hautakosa 5000-10,000 kwa siku, usikae tu tafuta ujuzi wowote
Hapo sawa..Naishi kwa shangazi
Tupambane tu hadi kieleweke
Dah umejuaje mwanangu???Unakuta jobless halafu introvert
WiiiiIla nyie jamani bora jobless mwanamke kuliko mwanaume, yaani wanatia huruma sana sanaaaa[emoji17]daah!!!
Huyu ni mm kabisa sema umeruka e fm akina jemedari na kuwapondea yangaUnambiwa ni kuamka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina Maulid Kitenge, then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch Clouds namalizia leo tena kipindi cha kina Mwijaku mpaka saa 7, wakija mabishoo wale XXL nazima redio.
Hapo unapigwa usingizi na kuperuzi JF majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipindi cha kina baba levo(chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na leo nakipiga kile mpaka saa mbili. Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Sio kweli stori haina uhalisiaBaada ya kuflashiwa kwenye ajira na kukosa pa kwenda nilianzisha utaratibu wa kutembelea kwenye masoko
Nilikua naenda kwenye soko husika natafuta sehem nakaa na km kuna story najumuika nazo kinomanoma
Ktk kuzurura nikaangukia kwenye soko la karume, baada ya kushinda nao nikagundua wanakopa kila kitu kuanzia chai au supu asubuh,msos wa mchana hadi maji ya kunywa
Nikaona nijiongeze kwa kununua katon tano za maji na kuzikalia km kigoda
Washkaj wakawa wanaulizia km nauza na huo ndio ukawa mwanzo wa kuwa msambazaj wao wa maj
Baada ya wiki kadhaa nikawa nasambaza hadi katon mia kwa siku na jion napitia mauzo
Km huna ajira usilale ndan jichanganye mtaan huwez kosa la kufanya
Swala la wew kuamin au kutokuamin hayo ni matatizo yako,lkn unapokua jobless usilale ndan zurura tu kwenye vijiwe vya kazi au masokon baada ya muda utapata tu la kufanya na kukuingizia kipato walau kidogo kikubwa usiwe na mbwembwe kwa kujiona una degree huwez uza mifuko au majiSio kweli stori haina uhalisia
bora tukipita humu tunajifariji lakini tusisahau kuendelea kupambanaKuna maisha unapitia Unawez hisi Tanzania nzima ni wewe tu ndio unaisha hivyo kumbe kiuhalisia ni wengi wanapitia hiyo hali. Ngoja tuendelee kupambana
Kaka naomba contact na weweBasically kwenye nguo na decorations. Nitakuelekeza Kona zote. Ila ni ngumu kupiga winga kwenye hardware. Ila ni rahis kwenye nguo kama unataka nikuelekeze Kona Kona hapa useme tu. Mana mm hiyo kazi jmos napataga mpaka 40k
Ideas ni nyingi ila tunaanzia wapi sasa kuzielezaNdugu zangu ambao ni majob-less habari na amani iwe juu yenu!
Karibuni katika ukurasa wetu tupige story na kupeana moyo kwa kipindi hiki kigumu tunachopitia.. Vilevile kama kuna michongo, ideas, na njia tupeane ili tuweze kutoka katika hii hali.
Nawasilisha.