A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Mar 11, 2021 #1 Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi?
Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi?
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Mar 11, 2021 #2 andreakalima said: Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi? Click to expand... Binti pichan ana movie moja matata.
andreakalima said: Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi? Click to expand... Binti pichan ana movie moja matata.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Mar 11, 2021 #3 Fursa popote, pia ni kukuza umaarufu wa muhusika na ni talent yake.
Mpatuka JF-Expert Member Joined Nov 15, 2015 Posts 2,261 Reaction score 3,580 Mar 11, 2021 #4 Ni Hemedy PhD pekee aliyeweza kutumikia mabwana wawili kipind fulani ingawa kwasasa amepwaya kiasi fulani.
Ni Hemedy PhD pekee aliyeweza kutumikia mabwana wawili kipind fulani ingawa kwasasa amepwaya kiasi fulani.
Mavipunda JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 7,072 Reaction score 7,891 Mar 11, 2021 #5 juzi nilimuona shehe Kipozeo kwenye series flani dstv..nikajua njaa mbaya