Mnajadiriana nini?nakualika njoo tufarijiane hapa
Haha unataka ufarijiweMuda Kama huu huwa mzur Sana ukiwa na mwenza wako mnafarijiana na kupanga mipango yenu na ya familia kwa ujumla
Changamoto unakuja kwa wale ambao tupo single,tunajawa na mawazo na pressure kuhusu jins ya kupata wenza maishan mwetu.
Kama uko matured na upo single muda huu nakualika njoo tufarijiane hapa:
Sie wengine twa comment wapi?Muda Kama huu huwa mzur Sana ukiwa na mwenza wako mnafarijiana na kupanga mipango yenu na ya familia kwa ujumla
Changamoto unakuja kwa wale ambao tupo single,tunajawa na mawazo na pressure kuhusu jins ya kupata wenza maishan mwetu.
Kama uko matured na upo single muda huu nakualika njoo tufarijiane hapa:
Mwenyekiti nashauri hata mchana tuwe tunafarijiana sio usiku tu.