maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]una hamu ya kuanza kubugia arviii
Bila picha zao, huu uzi ni batiliHawa watu haijalishi wametembea nani, mpaka kesho nawapenda,
1. Jennifer Kyaka (Odama)
2. Irene Uwoya
3. Rachel Kizunguzungu
4. Nandi wa Bill Nas
5. Rachel wa mahusiano clouds
Naomba wafikishie salam zangu.
Mmoja wapo ntampata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]una hamu ya kuanza kubugia arviii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna dada mtaani kwetu anaitwa Mwamvita,
aise huyu dada ni mwisho wa matatizo.
sifa zote anazoa.
chura hiyo, umbo hilo, macho mdomo n.k yaani amekaa kimapenzi mapenzi jamani,
yupo kigamboni pale yaani dah.
kwanza kapanda hewani (ni mwanamke huyo)
yaani acheni jamani mtaani kuna vyombo akina nandi wakasome memkwa.
Walisha achanaa mdaa tyuuh.huyu dada hatari sana aisee, Marioo anakojolea pazuri sana
Mdogo wangu si uko nao hapo daslam,Wape ripot π€[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Irene kilenga huyuhuyu wa efm?Kuna Irene Kalenga "Baby mama" namwelewa sana. Shida anakaa dar nami niko huku Ibinzamata ndanindani
Sema ni mpigania uhuru
Huyu dada ni mrembo kweli,View attachment 2749319
Kibongo bongo uwoya alikuwa kisu enzi zake alinifanya niwe nadronedrake sana kipindi nasoma π
Hahaha Mzee wa Kasharunga ni kada Msiri.View attachment 2749319
Kibongo bongo uwoya alikuwa kisu enzi zake alinifanya niwe nadronedrake sana kipindi nasoma π
Lugha gani tena hii πHahaha Mzee wa Kasharunga ni kada Msiri.
6. Wellu SengOHawa watu haijalishi wametembea nani, mpaka kesho nawapenda,
1. Jennifer Kyaka (Odama)
2. Irene Uwoya
3. Rachel Kizunguzungu
4. Nandi wa Bill Nas
5. Rachel wa mahusiano clouds
Naomba wafikishie salam zangu.
Mmoja wapo ntampata
Umekuja dar es salaam lini?Hawa watu haijalishi wametembea nani, mpaka kesho nawapenda,
1. Jennifer Kyaka (Odama)
2. Irene Uwoya
3. Rachel Kizunguzungu
4. Nandi wa Bill Nas
5. Rachel wa mahusiano clouds
Naomba wafikishie salam zangu.
Mmoja wapo nitampata
Kigamboni ipi?Kuna dada mtaani kwetu anaitwa Mwamvita,
aise huyu dada ni mwisho wa matatizo.
sifa zote anazoa.
chura hiyo, umbo hilo, macho mdomo n.k yaani amekaa kimapenzi mapenzi jamani,
yupo kigamboni pale yaani dah.
kwanza kapanda hewani (ni mwanamke huyo)
yaani acheni jamani mtaani kuna vyombo akina nandi wakasome memkwa.
Aisee, pokea kila aina ya pongezi kutoka kwangu kwa post hii!William shakespeare alikuwa sahihi aliposema when sorrow comes ,it comes not a single but in batallions