kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,216
- 1,062
Salaamu wana JF wote.
Jamani naombeni mnifahamishe... kwa hapa Dar, ni sehemu gani kuna maabara ya kuaminika for health check up. Namaanisha kufanya vipimo mbali mbali vya kimaabara... mfano mkojo, choo, sperm analysis, damu (hasa hasa pH ya damu), n.k.
Nomba iwe sehemu affordable coz sina bima ya afya.
Ahsanteni ndugu. Barikiwa sana wote
Jamani naombeni mnifahamishe... kwa hapa Dar, ni sehemu gani kuna maabara ya kuaminika for health check up. Namaanisha kufanya vipimo mbali mbali vya kimaabara... mfano mkojo, choo, sperm analysis, damu (hasa hasa pH ya damu), n.k.
Nomba iwe sehemu affordable coz sina bima ya afya.
Ahsanteni ndugu. Barikiwa sana wote