Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,211
- 12,538
habari za mchana
niende moja kwa moja kama nilivyoeleza hapo juu,
leo ni siku ya tatu kijana wangu hapati usingizi na amekuwa mlizi tofauti na siku za nyuma, huku mtoto ni wa kiume na sasa ana miezi 6 na siku kumi na tisa, leo ni siku ya tatu huyu mtoto mfano akiamka asubuhi saa kumi na moja anaweza asilale tena hadi saa tano za usiku na ikitokea kalala hamalizi dakika tano kaamka na akiamka anakuwa analia sio kile kilio za watoto wachanga ni kilio kama cha kudeka hivi, sasa ninaomba anayefahamu tiba ya hili tatizo anisaidie ufumbuzi maana sasa mama yake anakonda kila kukicha ananyonya muda wote, yaani nusu saa anataka kunyonya akimaliza ukimuweka chini usiondoke ukae nae ukiinuka tu kilio anyonya tena, ni hivyo siku nzima....pia kuna harufu nilikuwa naisikia katika kinywa chake kwa zaidi ya siku mbili ni kama harufu flani ya utomvu wa papai, ila muda si mrefu nimempigia simu mama yake na kumuulizia kuhusu hiyo harufu ameniambia imekata....msaada tafadhali..
natanguliza shukrani
niende moja kwa moja kama nilivyoeleza hapo juu,
leo ni siku ya tatu kijana wangu hapati usingizi na amekuwa mlizi tofauti na siku za nyuma, huku mtoto ni wa kiume na sasa ana miezi 6 na siku kumi na tisa, leo ni siku ya tatu huyu mtoto mfano akiamka asubuhi saa kumi na moja anaweza asilale tena hadi saa tano za usiku na ikitokea kalala hamalizi dakika tano kaamka na akiamka anakuwa analia sio kile kilio za watoto wachanga ni kilio kama cha kudeka hivi, sasa ninaomba anayefahamu tiba ya hili tatizo anisaidie ufumbuzi maana sasa mama yake anakonda kila kukicha ananyonya muda wote, yaani nusu saa anataka kunyonya akimaliza ukimuweka chini usiondoke ukae nae ukiinuka tu kilio anyonya tena, ni hivyo siku nzima....pia kuna harufu nilikuwa naisikia katika kinywa chake kwa zaidi ya siku mbili ni kama harufu flani ya utomvu wa papai, ila muda si mrefu nimempigia simu mama yake na kumuulizia kuhusu hiyo harufu ameniambia imekata....msaada tafadhali..
natanguliza shukrani