Maadhimisho ya kuundwa kwa taifa la Israel

Maadhimisho ya kuundwa kwa taifa la Israel

Punguza bei chif tumwagike manake usawa huu wa mzee wa chato themanini sio mchezo
OFA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI...

Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kitauzwa kwa punguzo la 30% sawa na 56,000/= tu popote ulipo utaletewa bure.....!

Lipia kwa namba +255715865544 au +255755865544. Na kisha tuma majina yako matatu na mshali ulipo.

Nje ya Tanzania nunua kupitia mtandao wa amazon.com
 
Mkuu Yeriko,
Documentary zinasemaje ni nani hasa wenyeji wa kale wa Taifa la Israel?
Labda tuanzie hapo, maana hawa tunaowazungumzia/wanaozungumzwa leo pengine ni muendelezo wa Utawala wa Rumi ya Kale.
Ili tujadili mada hii vizuri ni vizuri tukazifahamu historia za nchi kama Iran, Iraq, Syria, Misri, Saudi Arabia na Ethiopia.
Tukistiki kwenye sehemu moja tunaweza kupoteza maana kwani yawezekana kuna untold story hidden about the origin of civilization within the Africa Continent.
Nimesema bara la Afrika kwa sababu, yawezekana kinachosemwa leo ni kupotosha watu, kwani yawezekana Mashariki ya kati ni sehemu mojawapo muhimu katika bara la Afrika iliyopokwa /kutengwa kivyake kwa maslahi wanayoyajua waliofanya hivyo either kwa makusudi au bahati mbaya.
We need to think critically why Ngorongoro crater.
Tusije tukashangaa miaka ijayo tukaambiwa nchi ya ahadi ya wana wa Israel ni Tanzania/Uganda.
 
Back
Top Bottom