Maadhimisho ya Muungano 2022: Rais Samia asamehe wafungwa 3,826

Maadhimisho ya Muungano 2022: Rais Samia asamehe wafungwa 3,826

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Katika kuadhimisha Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe wafungwa wapatao 3,826 kwa masharti mbalimbali

Msamaha huo utahusisha Wafungwa wanaotumikia adhabu kwa makosa ya usafirishaji wa Dawa za Kulevya ambao wamekaa gerezani kuanzia miaka 20 na kuendelea

Aidha, pia utahusisha Wafungwa wanaotumikia adhabu kwa makosa ya wizi au ubadhirifu wa Fedha na Mali za Umma ambao wamekaa gerezani kuanzia miaka 15 na kuendelea

5B68995E-D841-4360-AD37-398F6323467F.jpeg

067BBC3A-1EAC-4ACE-B581-16A573B7217B.jpeg


B71FCF25-0D99-457A-AC8F-D31944074370.jpeg
 
Aah kwahiyo kwasasa nchi inaongozwa kutokea Washington siyo. Basi powa
 
Back
Top Bottom