... you're right! Kama kuna public holiday za kipumbavu ni 7/7 na 8/8! Yote yako directly connected na chama la kijani hayana tija! Wafute hizi takataka warudishe mashujaa.Miaka yote yalipofanyika mkulima alifaidikaje? Kukosekana kwa maonesho hayo mwaka huu nini kilipungua? In short 7.7 na 8.8 hayanaga tija zaidi ya kuuza sura!
Kuzindua matela ya mikokoteniMiaka yote yalipofanyika mkulima alifaidikaje? Kukosekana kwa maonesho hayo mwaka huu nini kilipungua? In short 7.7 na 8.8 hayanaga tija zaidi ya kuuza sura!
Mkuu kwa sisi wakulima yaalikuwa na tija kubwa sana ...tulijifunza na kupata mawazo mapya na solo la mazao yetu ...Nina mashaka na uelewa wako kwenye hii mada!Miaka yote yalipofanyika mkulima alifaidikaje? Kukosekana kwa maonesho hayo mwaka huu nini kilipungua? In short 7.7 na 8.8 hayanaga tija zaidi ya kuuza sura!
Yaani wiki ya Wakulima wewe hapo unakiona ni hiyo Holiday tu!... you're right! Kama kuna public holiday za kipumbavu ni 7/7 na 8/8! Yote yako directly connected na chama la kijani hayana tija! Wafute hizi takataka warudishe mashujaa.
Kwa kusema hivyo unataka kutuambia aliyehailisha kutofanyika kwake alikuwa sahihi?.hayanaga tija
Achana na siasa za JF. Wadanganye wa saizi yako! Kama hayo mafunzo yana tija imekuwaje hadi leo nchi bado iko kwenye jembe la mkono il hali kila mwaka wanahudhuria maonesho ya nanenane?Mkuu kwa sisi wakulima yaalikuwa na tija kubwa sana ...tulijifunza na kupata mawazo mapya na solo la mazao yetu ...Nina mashaka na uelewa wako kwenye hii mada!
Baada ya kujifunza ulifanya nini? What transformation did you make? Tofautisha kwenda nanenane kuangalia events na real practice! Hiyo lotenz pumps uzitumiaje baada ya maonesho? Au baada ya nanenane ndo nitolee as usual?!Nilipoenda 88 nilijifunza kuwa kuna mifimo mizuri ya umwagiliaji ya kutumia pump za solar.(Lorenz pump).
Wamecjemsha sana kufuta 88.
88 kuna connection nyingi sana kama unaenda kimalengo.
Kama unaenda kutafuta malaya huwezi ona faida.
Sahihi sana! Nothing ever came out of nanenane. Nothing! Kule watu wanaendaga kuuza samani za ndani, baloon za watoto, bia na nyama choma. Ufuska kwa mbaaali pia!Kwa kusema hivyo unataka kutuambia aliyehailisha kutofanyika kwake alikuwa sahihi?.
Nilikuwa nsha nunua pump ya petroli. Ninakusanya mtaji kwa sababu pump ya petroli inanigharimu sana ntaavhana nayo. Nimebadili mtazamo kuhusu umwagiliaji.Baada ya kujifunza ulifanya nini? What transformation did you make? Tofautisha kwenda nanenane kuangalia events na real practice! Hiyo lotenz pumps uzitumiaje baada ya maonesho? Au baada ya nanenane ndo nitolee as usual?!
Kwa hio hamtaki wakulima wakafurahi walau siku 1 kwa mwaka?Sahihi sana! Nothing ever came out of nanenane. Nothing! Kule watu wanaendaga kuuza samani za ndani, baloon za watoto, bia na nyama choma. Ufuska kwa mbaaali pia!
Inaonekana exposure yako ni ndogo sana... you're right! Kama kuna public holiday za kipumbavu ni 7/7 na 8/8! Yote yako directly connected na chama la kijani hayana tija! Wafute hizi takataka warudishe mashujaa.
wewe sabasaba ina umuhimu japokuwa sijawahi kwenda nilikuwa nikiangalia kwenye tv tu.hata nane nane nayo sikukuu nzuri.nilipokuwa o level nilihudhuria sikukuu ya nane nane pale morogoro.nilijifunza mengi..mfano ufugaji wa samaki na Bata....nikatembelea na kituo Cha mamlaka ya hewa tukaelekezwa jinsi anemometer inavyofanya kazi[emoji2]... you're right! Kama kuna public holiday za kipumbavu ni 7/7 na 8/8! Yote yako directly connected na chama la kijani hayana tija! Wafute hizi takataka warudishe mashujaa.
... mkuu when was that? Duna imebadilika; yote hayo ukiwa umepunzika kitandani pako unayaona tena kwa njia ya video kupitia simu janja yako. Ni lazima tuende na mabadiliko tuache kuishi kwa mazoea.wewe sabasaba ina umuhimu japokuwa sijawahi kwenda nilikuwa nikiangalia kwenye tv tu.hata nane nane nayo sikukuu nzuri.nilipokuwa o level nilihudhuria sikukuu ya nane nane pale morogoro.nilijifunza mengi..mfano ufugaji wa samaki na Bata....nikatembelea na kituo Cha mamlaka ya hewa tukaelekezwa jinsi anemometer inavyofanya kazi[emoji2]
Kuuza nguo za mitumba88 zinamsaidia nini mkulima?Mkuu kwa sisi wakulima yaalikuwa na tija kubwa sana ...tulijifunza na kupata mawazo mapya na solo la mazao yetu ...Nina mashaka na uelewa wako kwenye hii mada!
Ulitaka mkulima apate nn zaidi ya kukutana na washauri wa kilimo, fursa za uboreshaji, uuzaji, ununuzi na networking?Miaka yote yalipofanyika mkulima alifaidikaje? Kukosekana kwa maonesho hayo mwaka huu nini kilipungua? In short 7.7 na 8.8 hayanaga tija zaidi ya kuuza sura!
Katika maisha unaona kile unachokiangalia, unapata kile unachotafuta.Sahihi sana! Nothing ever came out of nanenane. Nothing! Kule watu wanaendaga kuuza samani za ndani, baloon za watoto, bia na nyama choma. Ufuska kwa mbaaali pia!