Maadhimisho ya nane nane mwaka huu yamefutwa?

Maadhimisho ya nane nane mwaka huu yamefutwa?

Inashangaza Sana kuona watu wanatoka ovu humu...eti 88.haina faida.Tatizo.letu ni kujiona unajua kila kitu .Kama mtu hujatambelea Viwanja vya Moro,Arusha,Mbeya uone jinsi wakulima wanbyojifunza utakuja kuleta ubishi was kitoto humu.Kuna mwingine anasema Maonesho yanafanyika Mjini ,huku wakulima wakiwa Vijijini...Hii ni argurment ya kijinga ,hivi unajua kuwa Wakulima.wakubwa wanaishi mijini, au tunafikiri Kilimo ni like chha mkono pekee?
Aliyefuta Maonesho haya no mjinga Kama wajinga wengine!
Mimi husafiri kwenda Morogoro kuchota Elimu kwa wakulima,hususani kutoka kwa Wadau wa SUA,na ninajua faida take!
Nyie waandika Madokezo tulieni kimyaa
 
... mkuu when was that? Duna imebadilika; yote hayo ukiwa umepunzika kitandani pako unayaona tena kwa njia ya video kupitia simu janja yako. Ni lazima tuende na mabadiliko tuache kuishi kwa mazoea.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] tunahitaji watu wenye vision
 
Nilikuwa nsha nunua pump ya petroli. Ninakusanya mtaji kwa sababu pump ya petroli inanigharimu sana ntaavhana nayo. Nimebadili mtazamo kuhusu umwagiliaji.
Ok! Do you really need nanenane kununua pump na kupata mtaji?
 
Ok! Do you really need nanenane kununua pump na kupata mtaji?
Information is power. Nane nane kuna demonstration ya jinsi inavyofanya kazi. Nane naihitaji sana imenifanyia mambo mengi sana. Imenimotivate kwenye kilimo na ufugaji, nilipata incubayor locally made 88.
Pale kuba
Tech dissermination, innovation, motivation, adaptation,information, connection,markerting for cheap cost nk ni wewe tu unataka nini.
Setikali imepoteza pakubwa iwapo itafanyika tathmini, unaokoa bilion 2 unapoteza bilion 4.
 
Sahihi sana! Nothing ever came out of nanenane. Nothing! Kule watu wanaendaga kuuza samani za ndani, baloon za watoto, bia na nyama choma. Ufuska kwa mbaaali pia!
Kwani ni nani alihailisha..?
 
Back
Top Bottom