Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Ni jambo jema!
Zamu hii zinafanyikia ukumbini?
Next time watafanya baharini, katikati ya Unguja na Bara...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jema!
Zamu hii zinafanyikia ukumbini?
Yeye ni Rais kwa sababu ya huu Muungano. Bila huu Muungano hata Dar angekuja kwa PassportSiku kubwa kivipi bwashee?!
Ukumbini tena, Uviko haupo tena?Kwanini sio uwanjani?
Hakika.Yeye ni Rais kwa sababu ya huu Muungano. Bila huu Muungano hata Dar angekuja kwa Passport
Mbona zimefanyika mara nyingi tu na mvua ikiwa inanyesha?Mvua
Kwani aliyeomba kuungana na mwenzake ni Nyerere au Karume?Yeye ni Rais kwa sababu ya huu Muungano. Bila huu Muungano hata Dar angekuja kwa Passport
Hii kazi uliyojipa ni ngumu mnoWapi iliandikwa lazima ifanywe uwanjani?
Leo ni maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar na sherehe zimeshaanza kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete mjini Dodoma na anaeongoza ni makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango
Kuwa nami kwa yatakayojiri
=========
=> Viongozi wa dini zote wameshatoa sala na dua kwa ajili ya mjumuiko huu
=> Anayeongea sasa ni waziri Simbachawene na anatambulisha viongozi waliohudhuria, pia amesema sherehe zimefana.
=> Sasa ni salamu kutoka kwa waziri Suleiman Jaffo ambae anahusika na Muungano na anaaza kwa kumshukuru makamu wa Rais anaemuwakilisha Rais wa Jamhuri. Anawashukuru wote kwa kazi wakiadhimisha miaka 58 watanzania wakiwa na amani na furaha.
=> Sasa ni burudani kuhusu muungano
Umejuaje hili au kakuteua msemaji wake ?Anahangaikia mambo mazito nje ili wawekezaji wa maana waje vijana wetu wapate ajira za uhakika
Muda huu anakula kipochi manyoya bwasheeJakaya vipi yupo? Au nae yupo royo tua?
Kweli ailvyoubamba ule mkono wa baba yake Rihanna utadhani wa Ameir hajali hata Ramadan.Anahangaikia mambo mazito nje ili wawekezaji wa maana waje vijana wetu wapate ajira za uhakika
Tudumishe muunganoLeo ni maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar na sherehe zimeshaanza kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete mjini Dodoma na anaeongoza ni makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango
Kuwa nami kwa yatakayojiri
=========
=> Viongozi wa dini zote wameshatoa sala na dua kwa ajili ya mjumuiko huu
=> Anayeongea sasa ni waziri Simbachawene na anatambulisha viongozi waliohudhuria, pia amesema sherehe zimefana.
=> Sasa ni salamu kutoka kwa waziri Suleiman Jaffo ambae anahusika na Muungano na anaaza kwa kumshukuru makamu wa Rais anaemuwakilisha Rais wa Jamhuri. Anawashukuru wote kwa kazi wakiadhimisha miaka 58 watanzania wakiwa na amani na furaha.
=> Sasa ni burudani kuhusu muungano
Kweli mama alienda nae?Mama muda huu yupo kwenye kumbato zito na mzee wa smile, chezea USA wewe