Maadhimisho ya sherehe za miaka 58 ya Muungano, Dkt. Philip Mpango aziongoza Dodoma

Mama kaenda USA kutalii bongo hakuna nanayepapenda basi tu wapo kutunyonya..only JPM aliipenda Tanganyika.

Halafu huu utaratibu wa kuleta viongozi wa dini kila kwenye tukio la kiserikali ni utaratibu wa hovyo sana na ni wakibaguzi.

Muungano umebaki kwa ccm tu ndio wanaonufaika nao mana ni muungano wa hovyo kuwahi kutokea duniani.


#MaendeleoHayanaChama
 
Mtu mwoga atakuwa hajalala usingizi leo
 

sherehe za miaka 58 ya Muungano Rais yuko Marekani.?​

 
Mwigulu itabidi apelekewe tai nyingine zenye bendera maana kabrasha aliloenda nalo keshamaliza na hakuna mfuaji
 
Mama muda huu yupo kwenye kumbato zito na mzee wa smile, chezea USA wewe
 
Hivi kweli watu wamepanga ratiba ya Rais bila kujali tuna Sherehe za Muungano ambazo Amiri Jeshi Mkuu anapaswa kuwepo?
Sherehe za kitaifa kama hizi ni za CiC na vyombo vyake. Ndio maana gwaride huwa inakuwepo na kukaguliwa na Amiri Jeshi Mkuu.

Hivi pale ukumbini kutakuwepo na gwaride mbele ya Makamu wa Rais?
 
Tudumishe muungano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…