Maadui wa Tanzania wafikia watano

Tena hiyo Polisi ndo hatari, wale jamaa hawatumiagi akili kabisa.
 
Ungeanza ni hiyo namba 5
 
Thread yako ni kueneza chuki
 
SAA100 anaongia namba ngapi
 
🤣🤣🤣umetaja polisi kwenye listi yako,wa kwanza kabisa,Sasa nikupe zoezi Kama Kuna polisi nchi hii ana division one ya point 7 Hadi 12,ajitokeze hadharan,tumpe tuzo🙏
Wengine walipewa vyeti na wengine waliingia after 1st degree ...wapo mkuu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umetaja polisi kwenye listi yako,wa kwanza kabisa,Sasa nikupe zoezi Kama Kuna polisi nchi hii ana division one ya point 7 Hadi 12,ajitokeze hadharan,tumpe tuzo[emoji120]
Kwa huko yawezekana ikawa ni kweli ila kwa TPDF ningekutajia.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umetaja polisi kwenye listi yako,wa kwanza kabisa,Sasa nikupe zoezi Kama Kuna polisi nchi hii ana division one ya point 7 Hadi 12,ajitokeze hadharan,tumpe tuzo[emoji120]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…