Maafisa Habari, Waandishi wa Habari kila mmoja atimize majukumu yake. Waandishi acheni kulazimisha kupewa hela kama haupo kwenye bajeti

Binafsi naona suala la waandishi wa habari inabidi liangaliwe upya, ikiwezekana mfumo ubadilishwe (sijui kama itawezekana).
Wengiwao wanaongoza kwa kulia njaa na ujanja ujanja, hiyo ni fedhea na aibu kwa tasnia.
Point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…