Maafisa mikopo wa crdb hawajapenda mfumo wa ESS ambao unawapunguzia ulaji

Maafisa mikopo wa crdb hawajapenda mfumo wa ESS ambao unawapunguzia ulaji

1987SANAWA

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
418
Reaction score
526
Habari wanajukwaa!

Kuna mfumo wa watumishi wa umma unaitwa employee self service ess, kupitia mfumo huo watumishi hawahitaji kubeba nyaraka nyingi ili kukopeshwa mambo yanaishia online.

Kutokana na maendeleo hayo maafisa mikopo hawajafurahi hivyo kuamua kukwamisha mikopo na kuwataka watumishi kutumia njia ya zamani ya nyaraka nyingi na kuonana na maafisa hao njia ambayo inapelekea urasimu na rushwa ili mtumishi aweze kupata mkopo.
 
Hakuna namna kwa sasa mtumishi wa umma anaweza kukopa nje ya huo mfumo.

Hakuna HR atakayepitisha hayo manyaraka yaliyo nje ya ess.

Hayo ni maelekezo sio utashi wa mtu.

Kwa wasio watumishi wa umma inawezekana.

Benki zinazoleta urasimu huo zikiripotiwa BOT watazishughulikia ASAP.
 
Mimi mwezi July nimepata mkopo CRDB bila kufika CRDB, bila kuongea na mtumishi yeyote wa CRDB bila kusaini wala kupeleka nyaraka yoyote kwa mtu yeyote.
Wewe imekuwaje tena ?
Nilijaza tu wakaprove, HR ndiye alinipigia simu kuniuliza aruhusu pesa iingie au asiendelee na mchakato?
Nikamwambia aendelee . Siku hiyo hiyo nikaiona pesa. Basi
 
Hakuna namna kwa sasa mtumishi wa umma anaweza kukopa nje ya huo mfumo.

Hakuna HR atakayepitisha hayo manyaraka yaliyo nje ya ess.

Hayo ni maelekezo sio utashi wa mtu.

Kwa wasio watumishi wa umma inawezekana.

Benki zinazoleta urasimu huo zikiripotiwa BOT watazishughulikia ASAP.
Sasa zile platinum, bank ABC na uchafu mwingine wanakwenda kufungasha virago
 
Back
Top Bottom