Maafisa tarafa

Joined
May 24, 2012
Posts
84
Reaction score
33
nauliza wana jf wenye taarifa zozote kuhusu ajira za maafisa tarafa vp wameshaita intavyu. au ndowamepita bila kupingwa? nisaidieni kwa taarifa maana sina ninaloelewa.
 
lakini naona kama ni mapema sana kwa zile nafasi manake ajira zetu za serikali si mnazijua zilivyo slow motion wadau??????
 
Hamnaga interview , interview ni vyeti vyako ulivyotuma, kama vp we subiri kuitwa kazini.
Kama waalimu na watu wa kilimo, no argument
 
Acheni kupotosha, si mnasemaga serikali haiwajali kuwapa ajira? msubili serikali yenu ya Chadema miaka mia tatu ijayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…