galagaja mtoto
Member
- May 24, 2012
- 84
- 33
nauliza wana jf wenye taarifa zozote kuhusu ajira za maafisa tarafa vp wameshaita intavyu. au ndowamepita bila kupingwa? nisaidieni kwa taarifa maana sina ninaloelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zilitoka lini jamani
dah sikuipata iyo aisee, mwe!
sie wengine tunategemea hili jamv,
Hamnaga interview , interview ni vyeti vyako ulivyotuma, kama vp we subiri kuitwa kazini.
Kama waalimu na watu wa kilimo, no argument