Maafisa uhamiaji mkoani Sumbawanga (Kanongo) wanaongoza kwa kuchukua rushwa na kuwasumbua wageni wanaopita kwenda nje ya Nchi. Leo nikiwa kwenye gari nimeshuhudia wakongo mani waliokuwa na vibali vyote kupita nchini Malawi wakisumbuliwa na kulipishwa fedha nyingi dola 300 kila mmoja.
Walikuwa na document zote walipita vituo vyote ila kanongo tu wakazuliwa kwa sababu walikuwa wengi.
Afisa Uhamiaji mmoja jina ninalihifadhi aliwauliza kwanini wako wengi hivyo wameamua kwenda malawi.
Mwingine niliona anaulizwa jina la babu yake mzaa babu yake ikawa kimbembe
Walikuwa na document zote walipita vituo vyote ila kanongo tu wakazuliwa kwa sababu walikuwa wengi.
Afisa Uhamiaji mmoja jina ninalihifadhi aliwauliza kwanini wako wengi hivyo wameamua kwenda malawi.
Mwingine niliona anaulizwa jina la babu yake mzaa babu yake ikawa kimbembe