Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Habari gani wana Jamvi la Habari na Hoja mchanganyiko.
Acha niende kwenye Hoja moja kwa Moja. Nipo katika Harakati za kuomba Ajira za Wizara ya Afya. Kuna hiki kipengele cha Kudhibitisha Vyeti mahakamani au kwa Wakili.
Shida yangu kubwa haja nikutaka kujua, Je kuna shida yoyote nikiambatanisha nakala za vyeti vilivyothibitishwa na Mwanasheria miaka mitatu nyuma na vikawa scanned kwa ajili ya kupakiliwa kwenye Tovuti husika wakati wa kuomba kazi?
Jambo hili linaweza pelekea kunyimwa kazi au Taratibu zinasemaje kuhusu kuthibitisha Nakala kwa Wakili ?
Ni baada ya muda gani nakala hizi nilizothibitisha Mwaka Jana zinaweza zisifae tena kuambatanisha wakati wa kuomba kazi?
Mtanisamehe kama kuna mahali nimechanganya mambo ila naamini nimeeleweka vyema.
Nawasilisha [emoji404]
Acha niende kwenye Hoja moja kwa Moja. Nipo katika Harakati za kuomba Ajira za Wizara ya Afya. Kuna hiki kipengele cha Kudhibitisha Vyeti mahakamani au kwa Wakili.
Shida yangu kubwa haja nikutaka kujua, Je kuna shida yoyote nikiambatanisha nakala za vyeti vilivyothibitishwa na Mwanasheria miaka mitatu nyuma na vikawa scanned kwa ajili ya kupakiliwa kwenye Tovuti husika wakati wa kuomba kazi?
Jambo hili linaweza pelekea kunyimwa kazi au Taratibu zinasemaje kuhusu kuthibitisha Nakala kwa Wakili ?
Ni baada ya muda gani nakala hizi nilizothibitisha Mwaka Jana zinaweza zisifae tena kuambatanisha wakati wa kuomba kazi?
Mtanisamehe kama kuna mahali nimechanganya mambo ila naamini nimeeleweka vyema.
Nawasilisha [emoji404]