Maajab! Malaika aina ya makeherubi adondoka toka mbinguni!

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
Aisee ni taarifa za kutamausha mazee, binafsi nimezipokea kwa mshangao mkubwa..[emoji191]
 
picha ya kitambo sana hiyo probably 2015 mwishoni au 2016
 
unajua kuwa malaika ni roho, hata wakionekana na miili huwa wanakuwa wameivaa tu lakini wao ni roho? do you know that? they can not be seen in the physical, hadi wao wenyewe waamue kujionyesha, sio kukamatwa kwenye kiota namna hiyo kama hapo kwenye picha. afu ni wazuriii, hawana sura mbaya ivo. siwaabudu malaika, ila kwa tunavyowasoma, Mungu amewatengeneza wazuri hata wa umbo...labda wawe malaika wa shetani. Mungu anapenda wanaomwabudu wawe bora sio alimradi tu.
 
Witnessj how did you know that is an angel with that name.?
 
Ila in other hot newz...malaika wa dar azid kupokea maziwa yakeee![emoji3] [emoji191] imependezaaa ehh..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…