Nenda kwenye Biblia kafungue kitabu cha kutoka, utaona Maelekezo aliyokuwa anapewa Musa na Mungu jinsi ya kutengeneza Sanduku la Agano, aliambiwa juu ya Sanduku hilo la Agano atengeneze SANAMU MBILI ZA MAKERUBI (Malaika) wanaotazamana sura zao, na kugusana MBAWA ZAO