Maajabu 10 ya "Aje" ya Alikiba na miujiza yake

hahahah ushabiki wa mziki wa kibongo ni raha sana, hv haya mambo ya wasanii wawili kubeba mashabiki wote yapo nchi za jirani na dunia?
 
Toka zako
 
hahahah ushabiki wa mziki wa kibongo ni raha sana, hv haya mambo ya wasanii wawili kubeba mashabiki wote yapo nchi za jirani na dunia?
Yapo kwenye mpira kwa hawa jamaa, miaka 8 mfululizo watu wanabishania kitu kilekile, na wanaendelea kubishana.
 
Teh teh milioni 800, only vilaza ndo watakao amini
Nyooooooo!
 
N kwa alikiba peke yake sio kwa tanzania pekee lbs kwa historia ya maisha ya mzk kwa alikiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…