Maajabu 15 ya bonanza la UTOPOLO

Foundation ilishafutwa rasmi tena kwa tangazo, ila Simba bado wanaitangaza
 
Kujaza kwenye supu ya kafara
 
Kujaza kwenye supu ya kafara
 
Kujaza kwenye supu ya kafara

 
Kusahau kutambulisha/kuwatambua viongozi walioambatana na VP, eg mkuu wa mkoa.
 
namba 15 ukosoma kama umetoka kuamka unaweza waza vibaya sana
 
Ya Diamond ni upuuzi

İle ni club bonanza

He is greed
 
Mkoo busy kuongelea matukio ya Yanga Day ila baada ya tarehe nane mtaanza kuongelea matukio yenu. Huku mkikumbushia bil 20 na kuanza kuyatafuta maduka.
 
Wivu tu!
 
Utakuwa mtu wa ajabu sana kama unaamini mtu wa status ya Mohamed Dewji aendeshe foundation ambayo imefungiwa. Ukiingia katika tovuti yao utaona hata mwezi june tu hapo juzi kati wameshiriki katika matukio ya kijamii.
 
Hivi hakuna uhusiano wa haya uliyoandika na kirefu cha neno YANGA? Kwani Yanga ukinyumbua herufi kwa herufi kirefu chake ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…