Maajabu 8 ya mkoa wa Mara


Naomba uniunge huko mkuu nakufuata pm
 
Mavi ya ng'ombe yanaliwa huko, huchanganywa na nyongo na damu, huitwa kichuri
Ahahaha nakumbukaa singidani apo mnadani aise wamenilisha sana mav ya ngombe eti kachuriii na kwel hyo kachur ina mzuka balaa inakufanya ule nyama nying
 
Afu kingine murah mbna majina ya chachana marwa naona mengi sana kila mtu chacha na marwa hutawal au. Ndio haw ndio wakurya
 
Sasa hao maprofesa hawkuliona hilo uwez fananisha akill za profesa na degree holder wa kilimanyaro akili kubwa iko apo coz wako business oriented. Nyinyi ni walimu tu mavyuoni hat wajenge arusha awez kupitwa nakam mkoa kama maraaa
 
Umesema jina la mkoa limetokana na mto Mara, nini maana ya neno "Mara"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…